Rasmi: Samia Suluhu Hassan aapishwa kuwa Rais wa Tanzania
March 19, 2021 6:30 am ·
Rodgers Raphael
- Samia Suluhu Hassan ameapa rasmi na kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiyo mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Dar es Salaam. Samia Suluhu Hassan ameapa rasmi na kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiyo mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo wa juu katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Mama Samia (61) anachukua wadhifa huo baada ya Rais John Magufuli kufariki dunia Machi 17 mwaka huu katika hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam kutokana na maradhi ya moyo.
Mwanasiasa huyo ameapishwa Saa 4:14 katika Ikulu ya Dar es Salaam.
Kwa undani, fuatilia hapa wakati wa shughuli ya kuapishwa Ikulu
Latest

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere