Rais Samia utengua uteuzi wa bosi mpya TPDC

April 5, 2021 8:02 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Rais  Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard aliyemteua jana Aprili 4 mwaka huu.

Dar es Salaam. Rais  Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard aliyemteua jana Aprili 4 mwaka huu. 

Rais Samia alifanya uteuzi wa Richard jana na wakuu wa mashirika na taasisi nyingine za Serikali.

Hata hivyo, pasipo kutarajia mapema leo  asubuhi ametengua uteuzi huo na kumrejesha Dk James Mataragio kuendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo ambaye awali alikuwa anashikilia nafasi hiyo. 

Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya mawasiliano ya Rais Ikulu Dk Mataragio anaendelea na majukumu yake mara moja.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
25 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV