LIVE: Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Bunge la Tanzania
April 22, 2021 11:56 am ·
Mwandishi
LIVE: Rais Samia Suluhu Hassan analihutubia Bunge jijini Dodoma kwa mara ya kwanza tangu aapishwe Machi 19, 2021.Â
Viongozi mbalimbali wa Serikali na wastaafu tayari wako Bungeni ili kusikiliza Rais Samia ataongea nini kuhusu mwelekeo wa Serikali ya awamu ya sita.
            Â
Latest
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
