Sekta ya utalii yaanza kuimarika Zanzibar
August 25, 2021 6:21 am ·
Herimina
Dar es salaam. Sekta ya utalii visiwani Zanzibar imeanza kuimarika tena baada ya kuathiriwa na janga la Uviko-19.
Kwa mujibu wa ripoti ya 16 ya hali ya uchumi wa Tanzania mwaka 2021 ya Benki ya Dunia, sekta hiyo ilianza kuimarika taratibu katika robo ya nne ya mwaka 2020.
Kufikia Desemba mwaka 2020, watalii waliongia Zanzibar walikuwa takriban asilimia 80 ya wale walioingia 2019. Licha ya uimarikaji huo, ripoti inaainisha kuwa mapato yatokanayo na utalii yalishuka kwa asilimia 38 mwaka 2020.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka