Zingatia haya unapofanya manunuzi sikukuu ya Pasaka

April 16, 2022 8:33 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa makini na fedha unayoitumia na kufaham vitu ambavyo familia yako inapenda.

Dar es Salaam. Ni msimu mwingine wa sikukuu na kama ilivyo kawaida ya familia za Kitanzania, kufanya mahemezi ya vyakula, mavazi na vinywaji ni muhimu katika sikukuu hizi.

Hata hivyo, katika kufanya manunuzi hayo, baadhi hujikuta wakitumia fedha nyingi na hivyo kubaki na siku zaidi ya 20 wakiwa hawana pesa kama kipato chao kinategemea mwisho wa mwezi.

Ili kuepukana na changamoto hiyo, tazama video hii kujifunza zaidi na usiache kumtumia mwenzio ili wewe na umpendaye mbaki salama kiuchumi.

               

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV