Zifahamu njia za kujikinga na saratani ya shingo ya kizazi

January 14, 2023 11:26 am · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link

  • Njia hizo  ni pamoja na kupata chanjo, kufanya uchunguzi wa mapema, vipimo pamoja na matibabu.
  • WHO inasema utambuzi wa mapema wa ugonjwa huo unaweza kupunguza idadi ya vifo vya kila mwaka vitokanavyo na saratani hiyo.

Dar es Salaam. Kila mwaka mamilioni ya wanawake hupoteza maisha kutokana na kansa ya shingo ya kizazi, jambo la faraja ni kwamba zipo njia zitakazo kuwezesha kuepukana na madhara ya ugonjwa huo ikiwemo kifo.

kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) uchunguzi na matibabu ya mapema ya ugonjwa huo yanaweza kunusuru vifo vya wananwake wengi.

“Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika, lakini upatikanaji duni wa kinga, uchunguzi na matibabu huchangia asilimia 90 ya vifo,”inasema WHO.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
6 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
6 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV