Haya ndiyo maeneo utakayokutana na uzushi mwingi mtandaoni
February 20, 2023 6:27 am ·
Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
Dar es Salaam. Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli. Kwa sasa ugonjwa wa Uviko-19 umekuwa miongoni mwa majanga ambayo watu huyatumia kubuni na kusambaza habari za uongo ili kuzidisha madhara ya ugonjwa huo.
Maeneo yanayotumiwa zaidi kwa ugonjwa wa Uviko-19 kusambaza habari hizi ni haya hapa:
Latest
5 hours ago
·
Davis Matambo
Bosi Nukta Africa ashauri mbinu kuboresha uandishi wa habari Tanzania
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Boniface Jacob afikishwa Mahakama ya Kisutu
10 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Waandishi Nukta Africa kuwania tuzo za EJAT 2023
14 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 19, 2024