Fanya haya kulinda afya ya akili wakati wa janga la Uviko-19
February 22, 2023 1:55 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Katika kipindi ambacho ulimwengu unakabiliwa na ugonjwa wa virusi vya corona, ni rahisi sana kwa baadhi ya watu kupata changamoto za afya ya akili ikiwemo msongo wa mawazo na sonona.
Zifahamu mbinu za kukabiliana na changamoto hizo:
Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
WHO: Watu zaidi ya milioni 300 duniani wanahitaji msaada wa afya ya akili

3 days ago
·
Lucy Samson
Wizara ya Elimu yatangaza ufadhili wa masomo Russia

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Marekani yaiwekea Tanzania masharti dhamana ya viza

3 days ago
·
Lucy Samson
Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia