Ukatili, kuchepuka: Sababu kuu wanandoa kupeana talaka
March 8, 2023 12:44 pm ·
admin

Dar es Salaam. Wakati takwimu za Ripoti ya Utafiti wa Ufuatiliaji wa Kaya (NPS) 2020/2021 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), zikionyesha kuwa asilimia 57 ya Watanzania hawapo kwenye ndoa, sababu za wanaume na wanawake kutalikiana zimekuwa zikitofautiana.
Ripoti ya Utafiti wa Taasisi za Kijamii na Jinsia (SIGI) ya mwaka 2021 imebainisha sababu ambazo zinaweza kusababisha wanandoa kutalikiana ama kutengana.
Licha ya kuwa kila kundi la yaani wanawake na wanaume wameainisha sababu za kutalikiana, matendo kama kuzini nje ya ndoa, pamoja na ukatili yameonekana kuwa na asilimia nyingi za kuwa sababu ya talaka au wanandoa kutengana.

Latest
12 hours ago
·
Lucy Samson
TMA: Mvua kubwa kunyesha kesho katika mikoa mitano
17 hours ago
·
Lucy Samson
Jenista Mhagama afariki dunia
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Jeshi la Polisi: Hali ya usalama ni shwari Tanzania
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Desemba 10, 2025