Tanesco: Makali ya mgao wa umeme yamepungua
December 17, 2022 8:17 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema shirika hilo limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme nchini kutoka wastani wa kati ya megawati 300 hadi 350 wiki zilizopita hadi kufikia wastani wa kati ya megawati 100 hadi 150 wiki hii.
Makali hayo yamepungua kutokana na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na shirika hilo.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka