Wanawake katika njiapanda ya umaskini duniani

April 8, 2022 10:54 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Licha ya wanawake kuwa nguvukazi muhimu ya Taifa, bado wanakabiliwa changamoto mbalimbali zinawazuia kutoa mchango wao katika maendeleo ya dunia. 

Umaskini wa kipato ni changamoto mojawapo ambayo huwatumbukiza katika ukatili wa kijinsia kwa sababu ya kuwa tegemezi.

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...