Wanawake katika njiapanda ya umaskini duniani
April 8, 2022 10:54 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya wanawake kuwa nguvukazi muhimu ya Taifa, bado wanakabiliwa changamoto mbalimbali zinawazuia kutoa mchango wao katika maendeleo ya dunia.Â
​Umaskini wa kipato ni changamoto mojawapo ambayo huwatumbukiza katika ukatili wa kijinsia kwa sababu ya kuwa tegemezi.
