Wanawake katika njiapanda ya umaskini duniani
April 8, 2022 10:54 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya wanawake kuwa nguvukazi muhimu ya Taifa, bado wanakabiliwa changamoto mbalimbali zinawazuia kutoa mchango wao katika maendeleo ya dunia.
Umaskini wa kipato ni changamoto mojawapo ambayo huwatumbukiza katika ukatili wa kijinsia kwa sababu ya kuwa tegemezi.
