Wajua vipaumbele vya Watanzania wanapopata Pesa?

February 12, 2019 8:46 pm · Daniel
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Umeshawahi kujiuliza Watanzania hutumia fedha wapi ukiachilia matumizi ya lazima ya chakula na mavazi?

Kwa mujibu wa Utafiti wa hali ya huduma za kifedha Tanzania wa Finscope  uliofanyika mwezi wa Aprili na Julai mwaka 2017 Watanzania hutumia zaidi fedha zao kwenye huduma za afya kwa asilimia 11 na kufuatiwa  na elimu kwa asilimia 10.

Utafiti  huo  pia unaonyesha kuwa vipaumbele vikubwa katika miji kama Dar es Salaam na mingine ni kodi za nyumba ikifuatiwa na elimu.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
21 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Nukta TV

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

Nukta TV