Vyakula anavyotakiwa kuepuka mwanamke wakati wa ujauzito

June 19, 2021 10:13 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na pombe, vyakula visivyooshwa na viungo vya wanyama.
  • Baadhi ya vyakula vina vimelea kama bakteria ambao wanaweza kuwa hatari kwa mama na mtoto.

Dar es Salaam. Kipindi cha ujauzito ni kati ya vipindi ambavyo vinahitaji umakini kwa aili ya kumsaidia mama anayetarajia kujifungua ili amlete mtoto huyo duniani akiwa salama na pia mama abaki akiwa na afya njema.

Ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto wake iko sawa, mjamzito anatakiwa kuzingatia lishe kwa kula vyakula vitakavyomsaidia yeye na mtoto wake kuwa na afya bora ikiwa ni ushauri baada ya kuonana na mtaalamu wa afya.

Mfano, mtaalamu wa afya anaweza kusema mama anahitaji damu ya kutosha hivyo atashauriwa vyakula gani vinavyoongeza damu viongezwe kwenye lishe yake.

Pia vipo vyakula ambavyo hashauriwi kuvitumia kabisa au anatakiwa kupunguza ikiwemo pombe na kahawa. Ni vyakula gani vingine anatakiwa kuepuka? Tazama video hii fupi kujifunza zaidi:

                           

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Mama Salama alivyombana Wanu kuhusu maslahi ya walimu wanaojitolea

Nukta TV

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV