Vyakula anavyotakiwa kuepuka mwanamke wakati wa ujauzito

June 19, 2021 10:13 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na pombe, vyakula visivyooshwa na viungo vya wanyama.
  • Baadhi ya vyakula vina vimelea kama bakteria ambao wanaweza kuwa hatari kwa mama na mtoto.

Dar es Salaam. Kipindi cha ujauzito ni kati ya vipindi ambavyo vinahitaji umakini kwa aili ya kumsaidia mama anayetarajia kujifungua ili amlete mtoto huyo duniani akiwa salama na pia mama abaki akiwa na afya njema.

Ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto wake iko sawa, mjamzito anatakiwa kuzingatia lishe kwa kula vyakula vitakavyomsaidia yeye na mtoto wake kuwa na afya bora ikiwa ni ushauri baada ya kuonana na mtaalamu wa afya.

Mfano, mtaalamu wa afya anaweza kusema mama anahitaji damu ya kutosha hivyo atashauriwa vyakula gani vinavyoongeza damu viongezwe kwenye lishe yake.

Pia vipo vyakula ambavyo hashauriwi kuvitumia kabisa au anatakiwa kupunguza ikiwemo pombe na kahawa. Ni vyakula gani vingine anatakiwa kuepuka? Tazama video hii fupi kujifunza zaidi:

                           

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Dk Nchimbi afukuzwa CCM, Ndejembi akipendekezwa kuchukua mikoba

Nukta TV

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Haya hapa mafao ya Dk Emmanuel Nchimbi aking’atuka madarakani

Nukta TV

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

SIMULIZI: Namna Magufuli, Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

Nukta TV