Vijana wageni vinara wa kuitembelea Tanzania

January 20, 2020 2:19 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Wageni vijana hao wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8

Dar es Salaam. Kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 ndiyo wanaongoza kwa kuitembelea Tanzania huku wengi wao wakitokea Marekani na Kenya. 

Kwa mujibu wa Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017), mgawanyo wa wageni kwa  makundi ya umri unaonyesha kuwa, wageni wenye umri kati ya miaka 25 na 44 wanaongoza kwa kutembelea Tanzania kwa asilimia 46.8 au karibu nusu ya wageni wote wakifuatiwa na wenye umri kati wa miaka 45 na 64.

Idadi kubwa ya wageni walio na umri wa miaka kati ya 25 hadi 44 wanatoka Kenya na Marekani.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW