VIDEO: Usifanye haya unaposikia kiu

August 11, 2020 5:35 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutokutumia vinywaji kama soda na juisi kwa kuwa havitosaidia kuikata kiu yako.
  • Badala yake pendelea kutumia maji ya kunywa hata kama hausikii kiu.

Dar es Salaam. Mara nyingi watu wanapopata kiu hufikiria kuwa kimiminika chochote kinaweza kuikata kiu hiyo.

Wengine huharakisha kununua soda “Bariiiidi!” hasa wale wanaokuwa kwenye mizunguko yao wakifikiri kuwa kinywaji hicho kitakata kiu waliyo nayo. Kama wewe huwa unakunywa soda unaposikia kiu, unachofanya hakishauriwi kiafya.  

Wataalamu wanashauri mtu kutumia maji ya kunywa pale anaposikia kiu badala ya kimiminika kingine chochote kukata kiu kwa kuwa mtu anapokuwa katika hali hiyo ni kiashiria kuwa mwili una unahitaji mkubwa wa maji na hivyo kitu pekee unachohitaji mwilini ni maji ya kunywa.


Zinazohusiana


Daktari wa mafunzo ya mazoezi tiba Dk Joshua Sultan ameiambia Nukta kuwa mtu hujisikia kiu baada ya mwili kuishiwa maji mwilini na hivyo kuhitaji maji tu badala ya  kimiminika chochote kilichotiwa nakshi kama soda au juisi. 

Kufahamu zaidi kuhusu kiu na namna ya kukabiliana nayo, tazama video hiii.

                           

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.