Ufanye nini unapopata mimba isiyotarajiwa?

October 4, 2021 5:59 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kujua umri wa mimba hiyo. Itakusaidia kupanga hatua zijazo.
  • Pia inashauriwa kumtaarifu mwenza wako ili ajiandae kisaikolojia na kiuchumi.
  • Kaa karibu na msaikolojia wako.

Dar es Salaam. Licha ya njia za uzazi wa mpango kuwepo na kutangazwa kila siku, bado mimba zisizotarajiwa ni changamoto miongoni mwa vijana wa Tanzania na dunia kwa ujumla.

Kwa baadhi, habari za kuwa “nina ujauzito” zinaweza kuwafanya watamani dunia iwameze wapotee lakini hakuna haja ya “kupaniki” pale unapopata habari za mimba ambayo ulikuwa haujaipangia.

Badala ya kuanza kuwaza mambo mengi na kutaka kufanya mambo ambayo unaweza kujutia maishani, unaweza kuzingatia mambo haya pale unapopata ujauzito ambao haujaupanga.

Ni pamoja na kumshirikisha mwenzi wako ili kumpatia muda wa kujiandaa na malezi ya mtoto ajaye. 

Kama ujauzito huo unakupa mawazo sana, unaweza kuonana na mtaalamu wa masuala ya afya ili kupata msaada wa kitalamu na kisaikolojia pia.

Pia unaweza kuwajulisha wazazi wako kwani wana uzoefu kuliko wewe.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
25 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV