Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
October 4, 2024 3:43 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest

11 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Rais Samia ataja mafunzo matano kwa viongozi wa sasa kujifunza kwa Hayati Msuya

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yaongeza majimbo Tanzania, Bunge likifikia wabunge zaidi 400

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Elimu yaomba bajeti ya zaidi Sh2.4 trilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
ACT-Wazalendo wazidi kukomaa na Serikali ripoti ya CAG