Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
October 4, 2024 3:43 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest

4 hours ago
·
Lucy Samson
Mkutano wa G25 kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

1 day ago
·
Esau Ng'umbi
From shortage to solution: The role of specialized trainings in Tanzania healthcare revamp

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Elimu, uongozi visiwasahaulishe wanawake wajibu wa malezi

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha, Februari 21, 2025