Tahadhari: Unene uliopitiliza unaweza kumpata kila mtu

September 30, 2020 7:24 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Tatizo hilo linaweza kumpata mtu yoyote duniani.
  • Unene uliopitiliza huchangia kupata kisukari, kiharusi na magonjwa ya moyo.
  •  Shirika la Afya Duniani (WHO) lataka mshikamano kumaliza tatizo hilo.

Dar es Salaam. Kama bado una fikra kuwa unene uliopitiliza (obesity) unawapata watu wenye kipato kizuri hasa katika nchi zilizoendelea duniani, utakuwa unajidanganya. 

Kwa sasa, tatizo hilo linawapata watu wote hata wasio na fedha katika nchi maskini. 

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema tatizo hilo la kiafya limesamba kila mahali duniani ambapo takriiban watu milioni 2.8 hufariki dunia kila mwaka kutokana na unene uliopitiliza. 

“Zamani ulikuwa unahusishwa na nchi zenye kipato cha juu (high-income countries), kwa sasa unene uliopitiliza unawakumba hata watu waliopo kwenye nchi zenye kipato cha kati na chini,” inaeleza WHO.

Shirika hilo imezitaka serikali, washirika wa kimataifa, asasi za kiraia, mashirika yasiyo ya kiserikari na sekta binafsi kushikamana kuzuia na kupunguza tatizo la unene uliopitiliza. 

Unene uliopitiliza huchangia kupata magonjwa ya kisukari, moyo na kiharusi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV