Samatta atua Aston Villa

January 23, 2020 6:16 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Anakuwa Mtanzania wa kwanza kucheza ligi kuu ya Uingereza. 

Dar es Salaam. Klabu ya soka ya Aston Villa ya nchini Uingereza imefanikiwa kumsajili mshambuliaji Mbwana Samatta (27) kutoka Klabu ya  KRC Genrk ya Ubeligiji ameingia kandarasi  ya miaka minne na nusu na klabu hiyo.

Haikuwa  kazi nyepesi kwa kijana kutoka wilayani Temeke katika jiji la Dar es Salaam mpaka katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kufikia hatua hiyo. 

Safari hiyo ilianzia klabu ya Africa lyon mwaka 2018 kisha Klabu ya Simba mwaka 2010 na baadaye aliichezea TP Mazembe ya Congo DRC hadi kufika Genrk na sasa amejiunga na Aston Villa.

Baada ya kujiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Samatta akinukuliwa na  vyombo vya habari amesema ni hatua kubwa katika kazi yake ya kucheza soka la kulipwa.

“Nimefurahi sana,” amesema Samatta na kuongeza kuwa “ni hatua kubwa kwangu katika kazi yangu. Ni hatua kubwa kwa nchi yangu pia. Kila mtu alikuwa akitafuta Mtanzania kucheza kwenye Ligi Kuu za kimataifa hatimaye nimewatoa kimasomaso.”

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV