Mbuga za wanyama, fukwe vinara kutembelewa na watalii Tanzania
March 9, 2019 9:51 am ·
Mwandishi
Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inaonyesha kuwa maeneo hayo mawili yanachukua asilimia 58.2 ya maeneo yote yaliyotembelewa na watalii nchini mwaka 2017.
Maeneo mengi ambayo yanatambelewa na watalii ni pamoja na maeneo ya utamaduni, mikutano, ndugu na marafiki.
Latest

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mpina akwama mahakamani, ndoto za Urais 2025 zayeyuka

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Oktoba 15, 2025

4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango ataja mambo manne Watanzania kumuenzi Mwalimu Nyerere