Rais Samia: Tanzania haitajengwa na mtu mmoja

April 5, 2022 11:16 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Watanzania wote wakishirikiana katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa uchumi.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania haitajengwa na mtu mmoja bali na Watanzania wote wakishirikiana katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa uchumi.

Rais Samia ameeleza hayo leo Aprili 5, 2022 Jijini Dodoma wakati akizindua mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), unaojadili maridhiano, haki na amani.

           

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW