Rais Samia: Tanzania haitajengwa na mtu mmoja

April 5, 2022 11:16 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Watanzania wote wakishirikiana katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa uchumi.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania haitajengwa na mtu mmoja bali na Watanzania wote wakishirikiana katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa uchumi.

Rais Samia ameeleza hayo leo Aprili 5, 2022 Jijini Dodoma wakati akizindua mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), unaojadili maridhiano, haki na amani.

           

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
NISHATI

NISHATI

Nukta TV

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Nukta TV

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Nukta TV