Rais Samia: Tanzania haitajengwa na mtu mmoja
April 5, 2022 11:16 am ·
Daniel Samson
- Watanzania wote wakishirikiana katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa uchumi.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania haitajengwa na mtu mmoja bali na Watanzania wote wakishirikiana katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa uchumi.
Rais Samia ameeleza hayo leo Aprili 5, 2022 Jijini Dodoma wakati akizindua mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), unaojadili maridhiano, haki na amani.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka