Mbuga za wanyama, fukwe vinara kutembelewa na watalii Tanzania
March 9, 2019 9:51 am ·
Mwandishi
Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inaonyesha kuwa maeneo hayo mawili yanachukua asilimia 58.2 ya maeneo yote yaliyotembelewa na watalii nchini mwaka 2017.
Maeneo mengi ambayo yanatambelewa na watalii ni pamoja na maeneo ya utamaduni, mikutano, ndugu na marafiki.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka