Mbuga za wanyama, fukwe vinara kutembelewa na watalii Tanzania
March 9, 2019 9:51 am ·
Mwandishi
Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inaonyesha kuwa maeneo hayo mawili yanachukua asilimia 58.2 ya maeneo yote yaliyotembelewa na watalii nchini mwaka 2017.
Maeneo mengi ambayo yanatambelewa na watalii ni pamoja na maeneo ya utamaduni, mikutano, ndugu na marafiki.
Latest

2 hours ago
·
Fatuma Hussein
INEC, Serikali, vyama vya siasa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi

3 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Tanzania yaahidi kudumisha ushirikiano wa kihistoria na Angola

10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 11, 2025

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 10, 2025