Mbuga za wanyama, fukwe vinara kutembelewa na watalii Tanzania
March 9, 2019 9:51 am ·
Mwandishi
Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inaonyesha kuwa maeneo hayo mawili yanachukua asilimia 58.2 ya maeneo yote yaliyotembelewa na watalii nchini mwaka 2017.
Maeneo mengi ambayo yanatambelewa na watalii ni pamoja na maeneo ya utamaduni, mikutano, ndugu na marafiki.

Latest
15 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ufahamu wa ugonjwa wa kula kupita kiasi unaoathiri maelfu kimya kimya
23 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia aomboleza kifo cha Kardinali Pengo
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 19, 2026