Mbuga za wanyama, fukwe vinara kutembelewa na watalii Tanzania

March 9, 2019 9:51 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inaonyesha kuwa maeneo hayo mawili yanachukua asilimia 58.2 ya maeneo yote yaliyotembelewa na watalii nchini mwaka 2017.

Maeneo mengi ambayo yanatambelewa na watalii ni pamoja na maeneo ya utamaduni, mikutano, ndugu na marafiki.

Enable Notifications OK No thanks