Matokeo darasa la saba mwaka 2022 haya hapa
December 1, 2022 7:12 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2022.
Matokeo hayo yametangazwa leo Desemba 1, 2022 na tayari yameshapakiwa katika tovuti ya baraza hilo www.necta.go.tz.
Mtihani wa darasa la saba ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya sekondari na hatimaye elimu ya juu nchini.
Tutakuletea undani wa matokeo yote hayo hivi punde yaliyochambuliwa kwa kina zikiwemo shule 10 bora na wanafunzi waliotikisa mwaka huu.
Latest

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
Balozi Juma Mwapachu afariki dunia, wanasiasa wamlilia

4 days ago
·
Lucy Samson
Watanzania milioni 2.1 wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 28,2025

4 days ago
·
Waandishi Wetu
Climate Change: From floods to droughts, struggles of an East Africa under threat of a food crisis