Matokeo darasa la saba mwaka 2022 haya hapa
December 1, 2022 7:12 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2022.
Matokeo hayo yametangazwa leo Desemba 1, 2022 na tayari yameshapakiwa katika tovuti ya baraza hilo www.necta.go.tz.
Mtihani wa darasa la saba ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya sekondari na hatimaye elimu ya juu nchini.
Tutakuletea undani wa matokeo yote hayo hivi punde yaliyochambuliwa kwa kina zikiwemo shule 10 bora na wanafunzi waliotikisa mwaka huu.
Latest
6 hours ago
·
Mwandishi
Pazia kampeni za uchaguzi lafungwa leo
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Yafahamu majimbo 46 yanayosubiri kura ya ndio au hapana
11 hours ago
·
Fatuma Hussein
Kishindo cha wanawake majimboni 2025
13 hours ago
·
Lucy Samson
Fahamu utaratibu wa watu wenye ulemavu kupiga kura Oktoba 29