Mambo ambayo mjamzito anashauriwa kuzingatia kuelekea kujifungua mtoto wa kwanza

June 7, 2021 12:50 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa na uhakika wa hospitali atakayoenda kujifungulia.
  • Pia, kuandaa nyaraka muhimu ikiwemo bima ya afya na fedha za dharula.

Dar es Salaam. Kuelekea kujifungua, ni kati ya siku ambazo huwa ngumu kwa mama mjamzito ambaye ndio mara yake ya kwanza kujifungua. 

Baadhi huwa na mawazo ya jinsi hali itakavyokuwa na endapo watajifungua salama au la.

Hata hivyo, mawazo hayo yanaweza kupungua endapo mama amejiandaa inavyopaswa kuelekea siku yake ya kujifungua mtoto wake ajaye.

Mambo hayo ni pamoja na kuwa na bima ya matibabu pamoja na uhakika wa hospitali ipi ataenda kujifungulia.

Ni mambo gani mengine yatakayompa mama amani kuelekea siku yake ya leba? Tazama video hii kujifunza zaidi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV