Fanya haya ukiachwa na ndege ‘Airport’

December 10, 2019 8:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Tulia na ielekeze akili yako katika kutafuta njia mbadala ikiwemo kuangalia uwezekano wa kupata ndege nyingine.

Dar es Salaam. Huenda wewe ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege na wakati mwingine umejikuta ukiingia katika changamoto ya kuchelewa kufika ‘Airport’, jambo ambalo limekuwa likikuweka katika hatari ya kuachwa ndege mara kadhaa.

Huenda pia umewahi kuachwa na ndege labda kwa sababu ya foleni ya magari barabarani au kutozingatia muda wa kuondoka na sababu nyingine nyingi za kibinadamu. Basi ukijikuta katika changamoto hiyo wakati mwingine fanya haya:

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV

Rais Samia: Anzisheni mfuko  kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Rais Samia: Anzisheni mfuko kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV