Fanya haya ukiachwa na ndege ‘Airport’

December 10, 2019 8:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Tulia na ielekeze akili yako katika kutafuta njia mbadala ikiwemo kuangalia uwezekano wa kupata ndege nyingine.

Dar es Salaam. Huenda wewe ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege na wakati mwingine umejikuta ukiingia katika changamoto ya kuchelewa kufika ‘Airport’, jambo ambalo limekuwa likikuweka katika hatari ya kuachwa ndege mara kadhaa.

Huenda pia umewahi kuachwa na ndege labda kwa sababu ya foleni ya magari barabarani au kutozingatia muda wa kuondoka na sababu nyingine nyingi za kibinadamu. Basi ukijikuta katika changamoto hiyo wakati mwingine fanya haya:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW