Fanya haya ukiachwa na ndege ‘Airport’
December 10, 2019 8:17 am ·
Mwandishi
- Tulia na ielekeze akili yako katika kutafuta njia mbadala ikiwemo kuangalia uwezekano wa kupata ndege nyingine.
Dar es Salaam. Huenda wewe ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege na wakati mwingine umejikuta ukiingia katika changamoto ya kuchelewa kufika ‘Airport’, jambo ambalo limekuwa likikuweka katika hatari ya kuachwa ndege mara kadhaa.
Huenda pia umewahi kuachwa na ndege labda kwa sababu ya foleni ya magari barabarani au kutozingatia muda wa kuondoka na sababu nyingine nyingi za kibinadamu. Basi ukijikuta katika changamoto hiyo wakati mwingine fanya haya:
Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028