Fanya haya ukiachwa na ndege ‘Airport’
December 10, 2019 8:17 am ·
Mwandishi
- Tulia na ielekeze akili yako katika kutafuta njia mbadala ikiwemo kuangalia uwezekano wa kupata ndege nyingine.
Dar es Salaam. Huenda wewe ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege na wakati mwingine umejikuta ukiingia katika changamoto ya kuchelewa kufika ‘Airport’, jambo ambalo limekuwa likikuweka katika hatari ya kuachwa ndege mara kadhaa.
Huenda pia umewahi kuachwa na ndege labda kwa sababu ya foleni ya magari barabarani au kutozingatia muda wa kuondoka na sababu nyingine nyingi za kibinadamu. Basi ukijikuta katika changamoto hiyo wakati mwingine fanya haya:
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka