Fanya haya ukiachwa na ndege ‘Airport’

December 10, 2019 8:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Tulia na ielekeze akili yako katika kutafuta njia mbadala ikiwemo kuangalia uwezekano wa kupata ndege nyingine.

Dar es Salaam. Huenda wewe ni miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege na wakati mwingine umejikuta ukiingia katika changamoto ya kuchelewa kufika ‘Airport’, jambo ambalo limekuwa likikuweka katika hatari ya kuachwa ndege mara kadhaa.

Huenda pia umewahi kuachwa na ndege labda kwa sababu ya foleni ya magari barabarani au kutozingatia muda wa kuondoka na sababu nyingine nyingi za kibinadamu. Basi ukijikuta katika changamoto hiyo wakati mwingine fanya haya:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Nukta TV

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Nukta TV

Jinsi waajiri wanavyokimbilia 'Interns' kukwepa ajira za kudumu

Jinsi waajiri wanavyokimbilia 'Interns' kukwepa ajira za kudumu

Nukta TV