Data: Undani kuhusu waliopata mikopo elimu ya juu mwaka 2019-2020

October 18, 2019 9:58 am · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link
  • Tayari HESLB imeshatangaza majina ya wanafunzi takriban 31,000 wa mwaka wa kwanza wamepata mikopo hiyo katika awamu ya kwanza ya mwaka wa masomo wa 2019/20.

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) hatimaye imeanza kutoa majina ya waliofanikiwa kupata mikopo hiyo katika mwaka wa kwanza wa masomo wa 2019/20 katika awamu ya kwanza. 

Wanafunzi 30,675 wametunukiwa mikopo hiyo katika awamu hiyo ya kwanza huku awamu ya pili ikitarajiwa kutangazwa hapo Oktoba 25.

Kuna mengi ambayo yanahusu mikopo hiyo muhimu katika kufanikisha ndoto ya elimu ya juu kwa sehemu kubwa ya vijana nchini Tanzania. 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV