Ahueni, maumivu: Bei ya mchele Katavi, Dar

September 28, 2020 11:34 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Bei ya jumla ya zao hilo katika jiji la Dar es Salaam ni zaidi ya mara tatu ya inayotumika Mpanda ambayo ni Sh70,000. 
  • Wafanyabiashara wa jijini humo kulala na tabasamu. 

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa mchele katika jiji la Dar es Salaam leo watalala na tabasamu baada ya bei ya jumla inayotumika kuuza za hilo ni zaidi ya mara tatu ya ile ya Mkoa wa Katavi.

Mchele ni miongoni mwa mazao makuu ya chakula yanayotegemewa na Watanzania kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo chakula. Mazao mengine ni mahindi, mtama, maharage, viazi mviringo na mihogo. 

Takwimu za mazao makuu ya chakula zilizotolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara leo (Septemba 28, 2020) zinaonyesha kuwa gunia la kilo 100 la mchele linauzwa kwa Sh230,000 katika soko la Tandika jijini Dar es Salaam.  

Bei hiyo ya jumla ni zaidi ya mara tatu ya ile ya Sh70,000 inayotumika katika Wilaya ya Mpanda katika Mkoa wa Katavi, jambo linalofaidisha zaidi wafanyabiashara na wakulima wanaouza zao hilo katika jiji hilo. 

Bei inayotumika jijini humo, ndiyo bei ya juu ikilinganishwa na mikoa mingine huku inayotumika Mpanda ndiyo bei ya chini kabisa. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.