Maswali 5 ya kujiuliza kabla ya kuamini taarifa za uchaguzi mtandaoni

August 6, 2025 5:44 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link

Arusha. Wakati Tanzania ikiajiandaa na uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu, ni kawaida kusikia au kuona taarifa nyingi zinazohusu tukio hilo katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

Lakini kabla ya kusambaza au kuimini taarifa yoyote mtandaoni ni vyema kujiuliza maswali muhimu ambayo yanaweza kukusaidia kubaini ukweli katika taarifa hizo na kupunguza wimbi la kusambaza taarifa potofu au zilizoongezwa chumvi.

Miongoni mwa maswali hayo ni pamoja na kutathmini chanzo cha habari, Je, taarifa hiyo  inatoka kwenye chanzo kinachoaminika kisheria? Mfano: Tume ya uchaguzi kama INEC, ofisi za serikali, au vyombo vya habari vilivyosajiliwa

 Masuala mengine muhimu ya kuzingatia ni pamoja na kuangalia tarehe na muktadha wa taarifa, kutokuangalia  kichwa cha habari pekee, kutafuta Uthibitisho kutoka kwa vyanzo vingine pamoja na kuchunguza  piicha, video au vielelezo vya taarifa.

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...

Enable Notifications OK No thanks