Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani

November 13, 2024 5:14 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.

Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
BALOZI JAMES: Hakuna mtanzania aliyeshambuliwa Afrika Kusini

BALOZI JAMES: Hakuna mtanzania aliyeshambuliwa Afrika Kusini

Nukta TV

🔴LIVE: TUME YA UCHUNGUZI MATUKIO OKTOBA 29, USO KWA USO NA WAANDISHI WA HABARI

🔴LIVE: TUME YA UCHUNGUZI MATUKIO OKTOBA 29, USO KWA USO NA WAANDISHI WA HABARI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA KILIMO IKIWASILISHWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA KILIMO IKIWASILISHWA BUNGENI

Nukta TV