Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
November 13, 2024 5:14 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest
14 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 19, 2026
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Sh25.8 bilioni kusambaza nishati safi ya kupikia taasisi 453 Tanzania Bara
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Maadhimisho ya siku ya wanawake Tanzania 2026 kupambwa na vazi la batiki