Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
November 13, 2024 5:14 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest
5 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29
5 hours ago
·
Fatuma Hussein
Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini
11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya fedha za kigeni vyabaki tulivu, baadhi ya sarafu zapanda kidogo Aprili 28