Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
November 13, 2024 5:14 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest

22 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Idara ya Uhamiaji Tanzania yatahadharisha umma na utapeli wa ajira

2 hours ago
·
Fatuma Hussein
Si kweli: TRA wametoa matokeo ya usaili wa nafasi za kazi

2 hours ago
·
Lucy Samson
Bei ya petrol, dizeli yapaa miezi minne mfululizo

3 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Aprili 2, 2025