Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
November 13, 2024 5:14 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia aongoza mamia kuaga mwili wa Jenista Mhagama Dodoma
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Waziri Masauni achaguliwa Makamu wa Rais UNEA
4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Serikali yajipanga kufikia asilimia 80 ya utoaji huduma kidijitali
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Jenista kuzikwa Desemba 16, mkoani Ruvuma