Dar es Salaam waendelea kufurahia bei ya mahindi
October 28, 2024 6:07 pm ยท
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Dar es Salaam itakulazimu kulipia Sh50,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh120,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mkoa huo ukifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imengaโngania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026