Bei ya maharage haishikiki mkoani Dar es Salaam
October 4, 2024 8:00 pm ·
Yuster Massawe
Share
Tweet
Copy Link
Dar es Salaam leo ndio wananunua maharage kwa bei ya juu zaidi Tanzania, wakinunua kilo moja kwa Sh3,900 sawa na Sh 390,000 kwa gunia la kilo 100, huku wakazi wa Kigoma wao wakila bata ambapo kwa kilo moja hiyo hiyo ya maharage wao wananunua Sh 1,500 sawa na Sh 150,000 kwa gunia la kilo 100.
Maharage ni mboga pendwa kwa watu wenye kipato cha kati na chini ambayo hutumika kusindikiza mlo kama ubwabwa, chapati au ugali.
Latest
14 hours ago
·
Davis Matambo
Rais Samia aitaka tume kuleta viwango halali vya kodi Tanzania
15 hours ago
·
Yuster Massawe
Pedi za kufua zinavyosaidia kupunguza uchafuzi mazingira
17 hours ago
·
Fatuma Hussein
TMA yatahadharisha upepo mkali Pwani, Ziwa Nyasa
21 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Oktoba 4, 2024