Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 27, 2024
September 27, 2024 10:41 am ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Kwa wale wanaotarajia kusafiri nje ya nchi, wanaohitaji kulipa ada za watoto wanaosoma nje ya nchi, wahasibu, wananuzi na watumiaji wa pesa za kigeni hivi ndio viwango elekezi vinavyotumika leo Septemba 27,2024.
Viwango hivi, vinavyobadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.
Latest
18 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Wafanyabiashara madini watakiwa kuuza 20% ya dhahabu BoT
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya ngano yang’ang’ania bei juu mkoani Lindi
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia apigia chapuo matumizi ya Tehama kwa wanafunzi Tanzania
2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Vodacom Tanzania yazindua huduma za matengenezo ya simu kwa wateja wake