Ngano bei juu mkoani Lindi
September 13, 2024 7:31 pm ·
Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.
Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.
Latest
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Boniface Jacob afikishwa Mahakama ya Kisutu
4 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Waandishi Nukta Africa kuwania tuzo za EJAT 2023
8 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 19, 2024
23 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Kada wa Chadema ‘Boni yai’ akamatwa na Jeshi la Polisi