Ngano bei juu mkoani Lindi
September 13, 2024 7:31 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya ngano Rukwa leo ni mara tano chini zaidi ya ile iliyotumika mkoani Lindi ya Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 la bidhaa hiyo muhimu katika kuandaa vitafunwa kama maandazi, chapati, sambusa na mikate.
Wakati Rukwa wakilia na ngano, wakazi wa Songwe wameendelea kuneemeka na mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh41,600 kwa gunia la kilo 100.
Latest
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia aongoza mamia kuaga mwili wa Jenista Mhagama Dodoma
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Waziri Masauni achaguliwa Makamu wa Rais UNEA
4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Serikali yajipanga kufikia asilimia 80 ya utoaji huduma kidijitali
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Jenista kuzikwa Desemba 16, mkoani Ruvuma