Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
September 5, 2024 1:15 pm ·
John Francis

Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.
Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
WHO: Watu zaidi ya milioni 300 duniani wanahitaji msaada wa afya ya akili

3 days ago
·
Lucy Samson
Wizara ya Elimu yatangaza ufadhili wa masomo Russia

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Marekani yaiwekea Tanzania masharti dhamana ya viza

3 days ago
·
Lucy Samson
Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia