Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
September 5, 2024 1:15 pm ·
John Francis
Share
Tweet
Copy Link
Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.
Latest
6 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Kada wa Chadema ‘Boni yai’ akamatwa na Jeshi la Polisi
7 hours ago
·
Davis Matambo
Neuralink kuja na teknolojia itayowawezesha vipofu kuona
12 hours ago
·
Lucy Samson
Jinsi ya kuongeza ushiriki wa vijana kwenye uchaguzi Tanzania
15 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 18, 2024