Serikali ilivyojipanga kuwaokoa watoto wa mtaani

January 28, 2020 1:03 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Inatekeleza programu ya kuwaunganisha na familia zao na kuwapatia malezi mbadala. 

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha inapunguza idadi ya watoto wa mtaani, Serikali imesema inatekeleza mpango wa kuunganisha watoto na familia zao na kuwatafutia malezi mbadala wale wasio na familia.

Mpango huo umeanza kutekelezwa  katika Mkoa wa Mwanza tangu Novemba 2019 na utasamba katika mikoa yote yenye watoto wengi wa mtaani wanaoishi katika mazingira magumu.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndungulile akizungumza mapema Bungeni leo (Januari 28, 2020) amesema katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2019, waligundua watoto wa mitaani wanaoishi katika mazingira magumu 36,548 wakiwemo watoto wa kiume 17,894. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV