Hii ndiyo mito mikubwa zaidi Tanzania

February 14, 2020 11:33 am · TULINAGWE ALSON
Share
Tweet
Copy Link
  • Mito Ruvuma, Malagarasi, Kagera, Mara na Umba ndio mito mikubwa Zaidi Tanzania.
  • Inatumika kwa shughuli mbalimbali za uvuvi na kilimo.

Dar es Salaam. Tanzania imebahatika kuwa na rasilimali nyingi za asili ikiwa ni pamoja na milima, maziwa, hifadhi za wanyama, mapori ya akiba, mito na mengine mengi yanaifanya kuwa na utajiri wenye kuvutia. 

Kama ulikuwa hufahamu mito mikubwa iliyopo Tanzania, www.nukta.co.tz ipo kwa ajili ya kukuhabarisha na kukujulisha mito hiyo.

Uchambuzi wa ripoti ya Takwimu za Mazingira ya Taifa (National Environment Statistics Report, 2017) zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaonyesha kuwa mito ya Ruvuma, Malagarasi, Kagera, Mara na Umba ndiyo mito mikubwa zaidi.

Mito hiyo inatumika kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi ikiwemo uvuvi na kilimo lakini inatumiwa kama mipaka inayotenganisha Tanzania na nchi zingine.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV