Video: Utarajie nini unapozeeka?

September 1, 2020 3:03 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na maungio ya mwili kuchoka huku baadhi yao wakikosa usingizi.
  • Wazee wanashauriwa kutumia vyakula vyenye vitamini zaidi na kufanya mazoezi.

Dar es Salaam. Bila shaka ungependa kubaki na mwili wa ujana kwa muda mrefu lakini jambo hilo haliwezekani kwa sababu miili yetu imeumbwa kuchakaa kadiri unavyopitia mabadiliko mbalimbali kuelekea uzeeni.

Kitaalamu, mbadiliko hayo huitwa “degenerative changes” ambayo kwa mujibu wa wataalamu wa afya, yanaambatana na changamoto nyingi zikiwemo kukosa usingizi na kufifia kwa uimara wa maungio ya mwili. 

Mfiziotherapia Dk Joshua Sultan ameiambia Nukta Habari (www.nukta.co.tz) kuwa unaweza kupunguza makali yanayoambatana na uzee kwa kufanya mazoezi, kula vyakula vinavyofaa na kujitahidi kupunguza uzito.

Je, ni mabadiliko yapi yanayoambatana na uzee? Tazama video hii #NuktaVideoYaSiku

/
No matches found for this filter
30 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV