Unavyoweza kumsaidia mtoto kutimiza ndoto za maisha

September 4, 2020 9:00 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kukuza kipaji chake na kujitahidi kugundua kitu anachokipenda.
  • Msikilize na mpe nafasi ya kutoa mawazo kuhusu mstakabali wake. 

Dar es Salaam. Kuna mambo mengi ambayo unaweza kumsaidia mtoto wako akiwa kwenye hatua za awali za ukuaji ambayo yatamsaidia kutimiza ndoto zake za maisha atakapokuwa mtu mzima.

Mambo hayo ni pamoja na kumfundisha michezo na stadi za kazii, kunoa kipaji chake na kumsikiliza kujua anataka nini. 

Mkazi waJijini Dar es Salaam Alma Miraj ambaye ni mama wa watoto wawili anasema kumweka mtoto wako karibu na vitu anachopenda akiwa mdogo, inamjengea mazoea na upendo na kitu hicho na hivyo kadri muda unavyozidi kwenda anakua bora kwenye jambo hilo.

“Mwanangu mwenye miaka sita anapenda sana kompyuta kwa hiyo baba mtu ameshamnunulia kompyuta na hivi karibuni ataanza kujifunza lugha za kompyuta (coding) maalumi kwa ajili ya watoto. 

“Mdogo wake anapenda shughuli za bustani kwa hiyo mara nyingi huwa na harakati nje ya nyumba. Bado tunawajenga kwenye vitu vingine kugundua kipi wanapenda zaidi,” amesema Alma.

/
No matches found for this filter
30 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV