VIDEO: Jinsi ya kuzuia matangazo unapotumia simu yako

December 4, 2020 1:18 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwakufuata baadhi ya hatua ili kuzima ruhusa ya tovuti hiyo kukuletea matangazo.

Dar es Salaam. Inakera sana pale unapokuwa una tazama video na tangazo linajipachika kwenye skrini yako bila kujua hata lilipotokea.

Ili kulifutilia mbali tangazo hilo, unahitaji dakika chache tu. ni hatua zipi hizo, tazama video hii inayokupatia maelezo muhimu kwa mujibu wa kituo cha msaada cha Google.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wadau watoa maoni uzinduzi wa Nukta AI

Wadau watoa maoni uzinduzi wa Nukta AI

Nukta TV

Nuzulack Dausen: Tusizime ndoto za watu za kutaka kuwa waandishi wa habari

Nuzulack Dausen: Tusizime ndoto za watu za kutaka kuwa waandishi wa habari

Nukta TV

🔴LIVE: WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZI | BUNGE LA 13, KIKAO CHA 20

🔴LIVE: WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZI | BUNGE LA 13, KIKAO CHA 20

Nukta TV