Ruvuma inavyokimbiza uzalishaji wa mahindi Tanzania
September 15, 2021 10:38 am ·
Daniel Samson
- Inaongoza kwa uzalishaji wa zao hilo.
- Mwaka 2019/20 ilizalisha tani 498,685.
Dar es Salaam. Kwa mujibu wa ripoti ya Sensa ya Taifa ya Kilimo ya mwaka 2019/20 ni Ruvuma ni mkoa unaongoza kwa uzalishaji wa mahindi Tanzania Bara.
​Ripoti hiyo inaeleza kuwa mwaka 2019/20, mkoa huo ulizalisha tani 498,685 sawa na asilimia 7.7 ya mahindi yote yaliyozalishwa mwaka huo ambayo yalikuwa tani milioni 6.5.
Mikoa mingine iliyokuwa na uzalishaji mkubwa ni Manyara ikishika nafasi ya pili ikifuatiwa na Tanga na Tabora.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026