Huyu ndiye rafiki wa kweli wa mafanikio yako

October 20, 2021 5:26 am · Neema
Share
Tweet
Copy Link
  • Mtu huyo ni wewe ambaye unatakiwa kuwajibika na maisha yako binafsi.

Katika maisha, kila mtu anatamani afikie ngazi fulani ya maisha. Iwe katika elimu, biashara au hata kazi, kunakuwa na matamanio fulani ya mtu kukua ili kufikia ndoto zake.

Ili mtu apande ngazi na kwenda kule anakotaka, anahitaji marafiki na watu wa karibu watakaomshika mkono na kumpa ‘support’ ya kila anachofanya. 

Lakini wote hao hawatakua na maana yoyote kama hauna rafiki mmoja mwenye umuhimu mkubwa ambaye ni UWAJIBIKAJI. Rafiki huyu ni wewe mwenyewe.

Unatakiwa kuwajibika na maisha yako binafsi bila kusubiri watu wengine wakushike mkono na kukupeleka kule unakotaka.

Uwajibikaji ni pamoja na kuwa na nidhamu, kutumia muda vizuri na kujikosoa pale unapofanya makosa na kufurahia kile unachokifanya na kukipa umuhimu unaostahili.

Anza leo kuwajibika kwa matendo yako. Kufahamu zaidi tazama video hii ambayo Mwandishi wa vitabu na mshauri wa masuala ya vijana, Neema Simbo anakujuza zaidi kuhusu dhana ya uwajibikaji.

                       

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV