Huduma ya barabara bado bado Maswa
February 25, 2022 6:13 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya barabara kuwa miundombinu muhimu katika kuwezesha usafirishaji wa watu na mizigo, bado wakazi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wamesema huduma hiyo haitolewi kama inavyohitajika.
Kwa mujibu wa utafiti wa Awali ngazi ya Kaya, Maswa (Machi – Aprili, 2021) uliofanywa na Shirika la Twaweza umebaini kuwa asilimia 82 ya wakazi wilayani humo hawaridhishwi na huduma ya barabara na miundombinu.
Hiyo inatoa tafsiri kuwa changamoto ya barabara ba do ni kubwa wilayani humo.
Latest

5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chadema: Lissu amehamishiwa ukonga

5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la magereza lakanusha kutoa taarifa ya alipo Tundu Lissu

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Tanzania kujibu mapigo Malawi, Afrika Kusini kuzuia mazao kuingia nchini kwao