Idadi ya wazee duniani kufikia bilioni 1.5 mwaka 2050
October 1, 2022 10:57 am ·
admin

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa (UN) hadi mwaka 2019 kulikuwa na jumla ya wazee milioni 703 ambao walikuwa na umri kuanzia miaka 65 na kuendelea.
Idadi hiyo ilikuwa mara mbili zaidi ya watu waliokuwa na umri wa chini ya miaka mitano mwaka 2020.
Ikiwa leo Oktoba Mosi, ni maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, UN imesema katika miongo mitatu ijayo idadi ya wazee itaongezeka na kufikia 1.5 bilioni huku mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia yakishuhudia ongezeko kubwa zaidi la wazee.Â
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026