Watu zaidi ya 3000 wafariki kwa Uviko-19 saa 24 zilizopita
December 19, 2022 8:30 am ·
Daudi
Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema watu 3,701 wamefariki dunia saa 24 zilizopita kwa ugonjwa wa Corona (Uviko-19).
WHO pia imeeleza kuwa katika muda huo, watu 807,865 wamepata maambukizi na kufanya idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa huo tangu mwaka 2019 kufikia milioni 647.9.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
25 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →25 May, 2026