Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 27, 2024
September 27, 2024 10:41 am ·
Fatuma Hussein
Kwa wale wanaotarajia kusafiri nje ya nchi, wanaohitaji kulipa ada za watoto wanaosoma nje ya nchi, wahasibu, wananuzi na watumiaji wa pesa za kigeni hivi ndio viwango elekezi vinavyotumika leo Septemba 27,2024.
Viwango hivi, vinavyobadilika kutokana na mwenendo wa soko, pia husaidia watumiaji wa sarafu za kigeni kufanya manunuzi ikiwemo kuingiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka