Video: Utarajie nini unapozeeka?

September 1, 2020 3:03 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na maungio ya mwili kuchoka huku baadhi yao wakikosa usingizi.
  • Wazee wanashauriwa kutumia vyakula vyenye vitamini zaidi na kufanya mazoezi.

Dar es Salaam. Bila shaka ungependa kubaki na mwili wa ujana kwa muda mrefu lakini jambo hilo haliwezekani kwa sababu miili yetu imeumbwa kuchakaa kadiri unavyopitia mabadiliko mbalimbali kuelekea uzeeni.

Kitaalamu, mbadiliko hayo huitwa “degenerative changes” ambayo kwa mujibu wa wataalamu wa afya, yanaambatana na changamoto nyingi zikiwemo kukosa usingizi na kufifia kwa uimara wa maungio ya mwili. 

Mfiziotherapia Dk Joshua Sultan ameiambia Nukta Habari (www.nukta.co.tz) kuwa unaweza kupunguza makali yanayoambatana na uzee kwa kufanya mazoezi, kula vyakula vinavyofaa na kujitahidi kupunguza uzito.

Je, ni mabadiliko yapi yanayoambatana na uzee? Tazama video hii #NuktaVideoYaSiku

/
No matches found for this filter
20 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
21 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV