Unayotakiwa kufahamu kuhusu virusi vya Corona
February 3, 2020 3:04 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Kwa mujimu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi kufikia Februari 2, 2020, watu zaidi ya 14,500 wameambukizwa virusi vya Corona na tayari vimesambaa kwenye mataifa 24 licha ya serikali nyingi kuweka marufuku ya kuingia kwa watu wanaotoka China ambako takriban asilimia 99 ya visa vimeripotiwa.
Latest

14 hours ago
·
Gustaph Goodluck
Spiro yazindua pikipiki ya umeme kuchochea usafiri salama, nafuu Tanzania

17 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Dk. Jafo: wasiofufua viwanda kukutana na mkono wa Serikali

18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Uchukuzi yaomba Sh2.746 trilioni kutekeleza vipaumbele nane

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Jafo aomba Sh135.7 bilioni kukuza viwanda, biashara Tanzania