Unayotakiwa kufahamu kuhusu virusi vya Corona
									February 3, 2020 3:04 pm ·
									Daniel Samson								
								Dar es Salaam. Kwa mujimu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi kufikia Februari 2, 2020, watu zaidi ya 14,500 wameambukizwa virusi vya Corona na tayari vimesambaa kwenye mataifa 24 licha ya serikali nyingi kuweka marufuku ya kuingia kwa watu wanaotoka China ambako takriban asilimia 99 ya visa vimeripotiwa.

Latest
								
										
											7 days ago										
										·
										Waandishi Wetu
									
									
										Mamilioni kuamua hatma ya Tanzania Uchaguzi Mkuu 2025 leo									
								
								
										
											7 days ago										
										·
										Mwandishi
									
									
										Pazia kampeni za uchaguzi lafungwa leo									
								
								
										
											1 week ago										
										·
										Kelvin Makwinya
									
									
										Yafahamu majimbo 46 yanayosubiri kura ya ndio au hapana									
								
										
											1 week ago										
										·
										Fatuma Hussein
									
									
										Kishindo cha wanawake majimboni 2025