Unavyoweza kujikinga na magonjwa ya figo

February 8, 2021 12:46 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Magonjwa ya figo humpata mtu kutokana na mtindo maisha wake ikiwemo mazoea ya kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.

Dar es Salaam. Mtindo wa maisha huwa na athari nyingi kiafya bila baadhi ya watu kufahamu. Mfano kushindwa kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi pamoja na kuwa mwangalifu kwa chakula unachotumia inaweza kuwa sababu ya kupata magonjwa mbalimbali yakiwemo ya figo.

Kwa mujibu wa tovuti ya elimu juu ya afya ya figo, ulaji wa chakula kilicho na chumvi nyingi, mlo usio kamili na kutokunywa maji ya kutosha huweza kumsababishia mtu kupata magonjwa ya figo.

Zaidi, katika video hii.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
23 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
23 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Lissu akutwa na kesi ya kujibu, ataja mashahidi 11, yumo Rais Samia

Lissu akutwa na kesi ya kujibu, ataja mashahidi 11, yumo Rais Samia

Nukta TV

EXCLUSIVE: Namna sahihi ya kunyonyesha baada ya kujifungu | Part 2

EXCLUSIVE: Namna sahihi ya kunyonyesha baada ya kujifungu | Part 2

Nukta TV

EXCLUSIVE | TEASER | Namna sahihi ya kunyonyesha baada ya kujifungua

EXCLUSIVE | TEASER | Namna sahihi ya kunyonyesha baada ya kujifungua

Nukta TV