Unavyoweza kujikinga na magonjwa ya figo
									February 8, 2021 12:46 pm ·
									Rodgers Raphael								
								- Magonjwa ya figo humpata mtu kutokana na mtindo maisha wake ikiwemo mazoea ya kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.
 
Dar es Salaam. Mtindo wa maisha huwa na athari nyingi kiafya bila baadhi ya watu kufahamu. Mfano kushindwa kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi pamoja na kuwa mwangalifu kwa chakula unachotumia inaweza kuwa sababu ya kupata magonjwa mbalimbali yakiwemo ya figo.
Kwa mujibu wa tovuti ya elimu juu ya afya ya figo, ulaji wa chakula kilicho na chumvi nyingi, mlo usio kamili na kutokunywa maji ya kutosha huweza kumsababishia mtu kupata magonjwa ya figo.
Zaidi, katika video hii.
Latest
								
										
											6 days ago										
										·
										Waandishi Wetu
									
									
										Mamilioni kuamua hatma ya Tanzania Uchaguzi Mkuu 2025 leo									
								
								
										
											7 days ago										
										·
										Mwandishi
									
									
										Pazia kampeni za uchaguzi lafungwa leo									
								
								
										
											7 days ago										
										·
										Kelvin Makwinya
									
									
										Yafahamu majimbo 46 yanayosubiri kura ya ndio au hapana									
								
										
											7 days ago										
										·
										Fatuma Hussein
									
									
										Kishindo cha wanawake majimboni 2025