Unavyoweza kujikinga na magonjwa ya figo
February 8, 2021 12:46 pm ·
Rodgers Raphael
- Magonjwa ya figo humpata mtu kutokana na mtindo maisha wake ikiwemo mazoea ya kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.
Dar es Salaam. Mtindo wa maisha huwa na athari nyingi kiafya bila baadhi ya watu kufahamu. Mfano kushindwa kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi pamoja na kuwa mwangalifu kwa chakula unachotumia inaweza kuwa sababu ya kupata magonjwa mbalimbali yakiwemo ya figo.
Kwa mujibu wa tovuti ya elimu juu ya afya ya figo, ulaji wa chakula kilicho na chumvi nyingi, mlo usio kamili na kutokunywa maji ya kutosha huweza kumsababishia mtu kupata magonjwa ya figo.
Zaidi, katika video hii.
Latest

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Wafanyabiashara wadogo kujumuishwa ukusanyaji wa maoni Mkumbi II

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia aomboleza kifo cha Rais Lungu

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Juni 6, 2025

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Juni 5, 2025