Unavyoweza kujikinga na magonjwa ya figo
February 8, 2021 12:46 pm ·
Rodgers Raphael
- Magonjwa ya figo humpata mtu kutokana na mtindo maisha wake ikiwemo mazoea ya kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.
Dar es Salaam. Mtindo wa maisha huwa na athari nyingi kiafya bila baadhi ya watu kufahamu. Mfano kushindwa kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi pamoja na kuwa mwangalifu kwa chakula unachotumia inaweza kuwa sababu ya kupata magonjwa mbalimbali yakiwemo ya figo.
Kwa mujibu wa tovuti ya elimu juu ya afya ya figo, ulaji wa chakula kilicho na chumvi nyingi, mlo usio kamili na kutokunywa maji ya kutosha huweza kumsababishia mtu kupata magonjwa ya figo.
Zaidi, katika video hii.
Latest

1 day ago
·
Lucy Samson
Mkutano wa G25 kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
From shortage to solution: The role of specialized trainings in Tanzania healthcare revamp

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Elimu, uongozi visiwasahaulishe wanawake wajibu wa malezi

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha, Februari 21, 2025