Unavyoweza kujikinga na magonjwa ya figo
February 8, 2021 12:46 pm ·
Rodgers Raphael
- Magonjwa ya figo humpata mtu kutokana na mtindo maisha wake ikiwemo mazoea ya kufanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.
Dar es Salaam. Mtindo wa maisha huwa na athari nyingi kiafya bila baadhi ya watu kufahamu. Mfano kushindwa kuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi pamoja na kuwa mwangalifu kwa chakula unachotumia inaweza kuwa sababu ya kupata magonjwa mbalimbali yakiwemo ya figo.
Kwa mujibu wa tovuti ya elimu juu ya afya ya figo, ulaji wa chakula kilicho na chumvi nyingi, mlo usio kamili na kutokunywa maji ya kutosha huweza kumsababishia mtu kupata magonjwa ya figo.
Zaidi, katika video hii.
Latest
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 22, 2026
21 hours ago
·
Mwandishi
Fursa, EU ikiiondoa Tanzania katika orodha ya nchi hatarishi kifedha
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 21, 2026
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Wananchi watakavyonufaika na usambazaji wa umeme katika vitongoji 9,009