Tanzania kuzalisha ajira milioni 6.5 sekta ya viwanda

June 30, 2025 5:34 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Kati ya ajira hizo, milioni 1.04 ni za moja kwa moja.
  • Ajira hizo zitatoka kwenye viwanda 9,045 vitakavyojengwa.

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Sulemani Jafo amesema Serikali inakusudia kujenda viwanda 9,045 vitavyozalisha ajira milioni 6.5, jambo litakalosaidia kuboresha maisha ya Watanzania na kuinua uchumi wa nchi.

Dk Jafo aliyekuwa akizungumza katika ufunguzi kaulimbiu mpya ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) mmoani Morogoro leo Juni 30, 2026 amesema kati ya ajira hizo zitakazozalishwa, milioni 1.04 ni za moja kwa moja ambazo zina mchango wa moja kwa moja na maisha ya Watanzania.

Aidha, Waziri amewataka maafisa biashara kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani ili kuwasaidia wakulima kupata bei stahiki za mazao yao.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV